Wadau Dar es Salaam Ciy Centre….naona maandamano makubwa ya watu
inaohisiwa ni Waislamu hapa mitaa ya Posta Mpya wakielekea Mambo Ya
Ndani….mwenye taarifa atujuze kulikoni?
Waandamanaji wakiwa karibu na geti la Wizara ya Mambo ya ndani
Wanaswali!
Wamekuja kutaka wenzao waliokamatwa kwa kgomea sensa waachiwe huru
walizuiwa lakini wamekuja kutoka kila kona na saa hizi barabara ya posta
kutoka maeneo mengine moja imefungwa kwa muda na tention ni kubwa saa
hiz wanamalizia kuseali salz la alasiri
Wamemaliza kuswali tunasubiri njia ya kuingia polisi makao makuu nayo imefungwa
No comments:
Post a Comment