Sunday, September 16, 2012

MAMA WA MAPACHA WANNE AAMUA KUWANYOA WANAE STAIL YA NAMBA ILI KUWAWEZESHA WALIMU KUWATAMBUA

Tan Chaoyun ni mama wa mapacha wanne ambao wamefanana sana kiasi cha kumchanganya hata yeye mwenyewe. Imefikia wakati mmoja wao anaweza fanya kosa lakini akajikuta anamuadhibu mwingine kwa jinsi walivyo fanana. Mama huyo aliongeza kuwa ni afadhali yake ila baba yao ndiyo hawezi kabisa kuwatofautisha.
Hata shuleni walimu wamekuwa wakipata tabu sana kuwatofautisha.
Ila kuwasaidia walimu katika hilo, mama huyo aliamua kuwanyoa watoto wake kwa staili ya namba 1 hadi 4 ili kuwarahisishia walimu kuwatambua watoto hao, na mmoja ambae ndio mtundu sana mara nyingi ufanya makosa na kupigwa mwengine ameshajulikana ambaye mwenye namba tatu kichwani,
 

No comments:

Post a Comment