Sunday, September 9, 2012

ONLY IN TANZANIA – Maajabu 8 ya Tanzania 2012.

imagesYapo Maajabu mengi sana…Ila Maajabu Makuu Yaliyopo Tanzania ni Haya hapa;
1. Mmoja wa Majaji Walioteuliwa kwa Mujibu wa Tundu Lissu Kumbe ndo
kwanza anasoma shahada so darasani nae anasoma”What is Law of Torts” then anapata SUP…U can Only find in TZ….afu mwalimu wake ni advocate inakuwaje akimpelekea kesi Jaji wa aina hiyo??
2. Serikali Makini ambayo sio dhaifu ina Watumishi Hewa 9,949
wanaopata Mshahara ambao Jumla ya hela inayopotea ni kama Bil 70
ambazo zingetumika kulipa Madaktari na walimu, lakini Serikali
inasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na Madaktari ila
wanazo za Watumishi hewa…Only u can find in TZ.
3. Serikali Ya Uingereza Ilirudisha Chenji ya RADA, Serikali ikasema
hela inapeleka Kununulia Vitabu kwa Ajili ya Shule Nchi nzima, Kumbe Kampuni iliyopewa tenda ya Kusambaza Vitabu nchi nzima ilitoa rushwa ya US$ 500,000 kupata tender Serikali ya Uingereza imeifungia miaka 7, You Can Only find in TZ.
4. Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba get me well waliofaulu darasa
la 7 kwenda Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeli
Watakuwa hawajui kufanya nini??…You Can Only Find In Tanzania
5. Washiriki wa Michezo ya Kimataifa (sijataja Mchezo wala
mashindano) wako watano (5) lakini wanaowasindikiza Washiriki wako 12 You can Only find in Tanzania……
6. Sehemu Pekee ambaye Mtu uliyetaka Kumdhuru kwa Kukusumbua then
unaomba Umlinde (refer to Dr. Ulimboka’s Case)..Yaani Mbwa Mwitu
anaomba kazi ya Kulinda Mbuzi……You Can Only find in Tanzania..
7.Only in Tanzania serekali inaweza kabisa kulipisha watu ushuru wa sticker ya fire Bila kuuliza kama una huomtungiwa kuzimia moto wala kukagua gari wala kukupa hiyo sticker Na wananchi wake wakakubali na kunyamaza tu.
8. Only in Tanzania hata rais hajui ni kwanini raia wake ni masikini?
Yapo Maajabu Mengi sana Lipi nimesahau???” Ongezea Moyoni

No comments:

Post a Comment