Pete inayoacha maandishi katika kidole cha mume wako kua “ameoa”
imetengenezwa. Kwa hiyo hata jamaa yako akivua pete huko nje inaacha
maandishi katika kidole “married”. Nadhani sasa wale wanaume “fulani”
watadakwa lol..
Wanaume mtakubali kuvaa pete hii kweli??
No comments:
Post a Comment